Maisha ya binadamu ni kitu ambacho hakijatiliwa maanani abadan katan. Insi wengi ulimwenguni wanachukulia jambo hili kama sadfa tu. Sie sote twaishi kwa aushi ya kuomba. kuna mambo mengi sana ambayo yanamfinyilia mwanadamu chini. Baadhi yao ikiwa:
1. Pesa.
2.Mume ama mke.
3.Vijulanga.
No comments:
Post a Comment